Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) ni miongoni mwa Taasisi zitakazo shiriki Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Kampeni ya Upandaji Miti Kitaifa yatakayofanyika kuanzia tarehe 18 Hadi 21, Machi 2026 katika Viwanja vya Ilulu Mkoani Lindi.
TAWIRI inawakaribisha wananchi na wadau mbalimbali kuja kupata elimu juu ya tafiti za wanyamapori pamoja na makazi yao ikiwemo misitu.











Users Last 7 days : 659
Users This Month : 1578
Total Users : 67752