Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amepokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori ya Taifa ya Mwaka 2024/2025 iliyowasilishwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Ikulu,…