Category: news

WAZIRI WA MALIASILI  NA  UTALII AMEIPONGEZA TAWIRI  KUWA NA MAABARA  YA WADUDU WANAOPATIKANA TANZANIA  NA NCHI NYINGINE

Waziri  wa  Maliasili  na  Utalii  Mhe. Angellah  Kairuki (Mb) ameipongeza  Taasisi  ya  Utafiti  wa  Wanyamapori  Tanzania  (TAWIRI)  kwa kuthamini umuhimu  wa  wadudu  katika sekta ya uhifadhi  na kuanzisha maabara maalumu ya kuwahifadhi wadudu wote wanaopatikana  hapa nchini na nchi nyingine. Waziri  Kairuki  ametoa pongezi hizo katika maonyesho  ya  Karibu  Kili Fair  2024 ambayo yamehitimishwa leo  9

Read More »

Visitors

021565
Users Today : 26
Users Last 7 days : 536
Users This Month : 1748
Total Users : 21565

Office Location

Contact Us