DKT.MJINGO APIGA KURA

DKT.MJINGO APIGA KURA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) Dkt. Eblate Ernest Mjingo ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha zoezi la upigaji kura katika Kituo cha Kwamrefu Halmashauri ya Jiji la Arusha

“Serikali za Mitaa,Sauti ya Wananchi,Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”

Visitors

062904
Users Last 7 days : 581
Users This Month : 1052
Total Users : 62904

Office Location

Contact Us